Kilimanjaro kujenga uwanja wa mpira wa Kikapu
Mkoa wa Kilimanjaro uko mbioni kuanza ujenzi wa uwanja wa mpya wa kikapu ambao utakuwa wa umma. Mkoa huo hadi sasa hauna kiwanja chochote cha umma, na wachezaji wa kikapu wanategemea viwanja vya taasisi binafsi na baadhi ya shule chache zenye viwanja. Katika mazungumzo yaliyofanyika kati ya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Anna Mghwira na
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed